Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+

      Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+

      Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+

  • Yeremia 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+

  • Ezekieli 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kulingana na utunzaji wa mtu anayelisha kundi+ lake katika siku ya kuja kwake kuwa katikati ya kondoo zake ambao wametawanyika kotekote,+ hivyo ndivyo nitakavyowatunza kondoo zangu; nami nitawakomboa kutoka mahali pote ambapo wametawanyika katika siku ya mawingu na giza zito.+

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki