3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+
10 Na Sharoni+ utakuwa uwanja wa malisho kwa ajili ya kondoo+ na nchi tambarare ya chini ya Akori+ mahali pa kupumzikia ng’ombe, kwa ajili ya watu wangu ambao watakuwa wamenitafuta.+
19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye uwanja wake wa malisho,+ na hakika yeye atalisha juu ya Karmeli+ na juu ya Bashani;+ na katika eneo lenye milima la Efraimu+ na la Gileadi+ nafsi yake itashiba.’”
13 Nami nitawatoa+ kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya pamoja kutoka katika zile nchi na kuwaleta kwenye nchi yao+ na kuwalisha kwenye milima ya Israeli, kando ya vijito na kando ya makao yote ya nchi.+
14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.”
12 “ ‘Hakika nitamkusanya Yakobo, ninyi nyote;+ bila shaka nitawakusanya pamoja wanaobaki wa Israeli.+ Nitawaunganisha, kama kundi zizini, kama kundi la wanyama katikati ya malisho yake;+ huko kutakuwa na kelele za wanadamu.’+