Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Isaya 65:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Sharoni+ utakuwa uwanja wa malisho kwa ajili ya kondoo+ na nchi tambarare ya chini ya Akori+ mahali pa kupumzikia ng’ombe, kwa ajili ya watu wangu ambao watakuwa wamenitafuta.+

  • Yeremia 50:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye uwanja wake wa malisho,+ na hakika yeye atalisha juu ya Karmeli+ na juu ya Bashani;+ na katika eneo lenye milima la Efraimu+ na la Gileadi+ nafsi yake itashiba.’”

  • Ezekieli 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitawatoa+ kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya pamoja kutoka katika zile nchi na kuwaleta kwenye nchi yao+ na kuwalisha kwenye milima ya Israeli, kando ya vijito na kando ya makao yote ya nchi.+

  • Ezekieli 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.”

  • Mika 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Hakika nitamkusanya Yakobo, ninyi nyote;+ bila shaka nitawakusanya pamoja wanaobaki wa Israeli.+ Nitawaunganisha, kama kundi zizini, kama kundi la wanyama katikati ya malisho yake;+ huko kutakuwa na kelele za wanadamu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki