2 Itachanua maua+ bila shaka, nayo itashangilia kwa shangwe na kwa kilio cha furaha.+ Itapewa utukufu wa Lebanoni,+ fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+ Kutakuwa na wale watakaouona utukufu wa Yehova,+ fahari ya Mungu wetu.+
14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.”