Kutoka 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akasema: “Nionyeshe, tafadhali, utukufu wako.”+ Zaburi 97:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbingu zimeutangaza uadilifu wake,+Navyo vikundi vyote vya watu vimeuona utukufu wake.+ Isaya 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+
4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+