Zaburi 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mpigieni Yehova muziki, enyi washikamanifu wake,+Utoleeni shukrani ukumbusho wake mtakatifu;+ Zaburi 118:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 118 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 138:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+
118 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+