1 Mambo ya Nyakati 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mshukuruni Yehova;+ liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu!+ Zaburi 107:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Mathayo 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+
107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+