Zaburi 105:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Zaburi 106:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ Wakolosai 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Endeleeni kudumu katika sala,+ mkikaa macho katika hiyo pamoja na kutoa shukrani,+
106 Msifuni Yah!+Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+