Luka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akaendelea kuwaambia mfano juu ya uhitaji wao wa kusali sikuzote bila kukata tamaa,+ Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+ Waefeso 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,
18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,