Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 55:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mimi nami nitamlilia Mungu;+

      Na Yehova mwenyewe ataniokoa.+

  • Waroma 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+

  • Waefeso 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,

  • Wafilipi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+

  • Wakolosai 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Endeleeni kudumu katika sala,+ mkikaa macho katika hiyo pamoja na kutoa shukrani,+

  • 1 Wathesalonike 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Salini bila kuacha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki