Zaburi 55:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mimi nami nitamlilia Mungu;+Na Yehova mwenyewe ataniokoa.+ Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+ Waefeso 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote, Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+ Wakolosai 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Endeleeni kudumu katika sala,+ mkikaa macho katika hiyo pamoja na kutoa shukrani,+ 1 Wathesalonike 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Salini bila kuacha.+
18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+