Luka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akaendelea kuwaambia mfano juu ya uhitaji wao wa kusali sikuzote bila kukata tamaa,+ Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+