Mathayo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa. Yuda 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ninyi, wapendwa, kwa kujijenga wenyewe+ juu ya imani yenu iliyo takatifu zaidi,+ na kusali mkiwa na roho takatifu,+
6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.
20 Lakini ninyi, wapendwa, kwa kujijenga wenyewe+ juu ya imani yenu iliyo takatifu zaidi,+ na kusali mkiwa na roho takatifu,+