32 Na sasa ninawaweka ninyi mikononi mwa Mungu+ na kwa neno la fadhili zake zisizostahiliwa, neno ambalo linaweza kuwajenga+ na kuwapa urithi kati ya wale wote waliotakaswa.+
10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu nilizopewa, mimi kama msimamizi wa ujenzi mwenye hekima niliweka msingi,+ lakini mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.+