13 Kwa hiyo, ikiwa ninyi, mjapokuwa waovu, mnajua jinsi ya kuwapa watoto+ wenu zawadi zilizo njema, je, Baba aliye mbinguni hatawapa hata zaidi roho takatifu+ wale wanaomwomba!”
26 Vivyo hivyo roho+ pia hujiunga kutoa msaada kwa ajili ya udhaifu wetu;+ kwa maana lile tatizo kuhusu tunalohitaji kusali hatujui,+ lakini roho+ yenyewe hutuombea pamoja na kuugua kusikotamkwa.
18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,