Luka 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa wakati alipokuwa mahali fulani akisali, alipoacha, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Bwana, tufundishe jinsi ya kusali,+ kama vile Yohana pia alivyowafundisha wanafunzi wake.”+
11 Sasa wakati alipokuwa mahali fulani akisali, alipoacha, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Bwana, tufundishe jinsi ya kusali,+ kama vile Yohana pia alivyowafundisha wanafunzi wake.”+