Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 16:1

Marejeo

  • +2Sa 6:17
  • +1Fa 8:1; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4
  • +1Fa 8:5; 2Nya 5:6

1 Mambo ya Nyakati 16:2

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +Law 3:1
  • +Hes 6:23; Yos 22:6; 2Sa 6:18; 1Fa 8:14
  • +2Sa 6:18

1 Mambo ya Nyakati 16:3

Marejeo

  • +2Sa 6:19

1 Mambo ya Nyakati 16:4

Marejeo

  • +1Nya 15:16
  • +Hes 18:2
  • +Zb 38:utangulizi; 103:2
  • +1Nya 16:7
  • +1Nya 23:5

1 Mambo ya Nyakati 16:5

Marejeo

  • +1Nya 6:39
  • +1Nya 15:18
  • +1Nya 15:21
  • +1Nya 15:17
  • +1Nya 15:16

1 Mambo ya Nyakati 16:6

Marejeo

  • +2Nya 15:14; 23:13

1 Mambo ya Nyakati 16:7

Marejeo

  • +2Nya 31:14
  • +2Sa 22:1; 23:1; 1Nya 16:4; 2Ko 9:12
  • +1Nya 6:39

1 Mambo ya Nyakati 16:8

Marejeo

  • +Zb 105:1; 106:1; Kol 4:2
  • +Isa 12:4; Ro 10:13
  • +Zb 67:2; Mdo 2:14

1 Mambo ya Nyakati 16:9

Marejeo

  • +Efe 5:19
  • +2Sa 22:50; 23:1
  • +Zb 71:17; 107:43

1 Mambo ya Nyakati 16:10

Marejeo

  • +Zb 105:3; Isa 45:25; Yer 9:24; 2Ko 10:17
  • +Law 22:32
  • +1Nya 28:9; Zb 104:34; Flp 4:4

1 Mambo ya Nyakati 16:11

Marejeo

  • +Amo 5:6; Sef 2:3
  • +Zb 24:6; 27:8; Ho. 5:15

1 Mambo ya Nyakati 16:12

Marejeo

  • +Zb 106:2; 111:4
  • +Zb 105:5; 119:137

1 Mambo ya Nyakati 16:13

Marejeo

  • +Isa 41:8
  • +Zb 33:12; 135:4; 1Pe 5:13

1 Mambo ya Nyakati 16:14

Marejeo

  • +Kut 15:2; Zb 95:7
  • +Zb 119:164

1 Mambo ya Nyakati 16:15

Marejeo

  • +Zb 105:8
  • +Kum 7:9

1 Mambo ya Nyakati 16:16

Marejeo

  • +Mwa 15:18; 17:2
  • +Mwa 26:3

1 Mambo ya Nyakati 16:17

Marejeo

  • +Mwa 28:14
  • +Zb 105:10

1 Mambo ya Nyakati 16:18

Marejeo

  • +Mwa 12:7; 17:8; 35:12
  • +Kum 32:8

1 Mambo ya Nyakati 16:19

Marejeo

  • +Mwa 34:30; Kum 26:5
  • +Ebr 11:13

1 Mambo ya Nyakati 16:20

Marejeo

  • +Mwa 20:1; 46:6
  • +Zb 105:13

1 Mambo ya Nyakati 16:21

Marejeo

  • +Mwa 31:42
  • +Mwa 12:17; 20:3

1 Mambo ya Nyakati 16:22

Marejeo

  • +Mwa 20:7; Zb 105:15

1 Mambo ya Nyakati 16:23

Marejeo

  • +Zb 96:1
  • +Zb 40:10

1 Mambo ya Nyakati 16:25

Marejeo

  • +Zb 145:3; 2Ko 11:31
  • +Kut 15:11

1 Mambo ya Nyakati 16:26

Marejeo

  • +Law 19:4; Isa 45:20; 1Ko 8:4
  • +Mwa 1:1; Zb 102:25; Isa 44:24

1 Mambo ya Nyakati 16:27

Marejeo

  • +Kum 33:26; Zb 8:1
  • +Zb 28:7; 1Ti 1:11

1 Mambo ya Nyakati 16:28

Marejeo

  • +Zb 63:2; 68:34; 115:1

1 Mambo ya Nyakati 16:29

Marejeo

  • +Kum 28:58; Ne 9:5; Zb 66:2; 148:13
  • +1Nya 29:5; Isa 18:7; Mt 5:23
  • +Kum 26:10; Zb 95:6

1 Mambo ya Nyakati 16:30

Marejeo

  • +Zb 104:5; Mhu 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10-11

1 Mambo ya Nyakati 16:31

Marejeo

  • +Zb 97:1; 98:4
  • +Zb 96:10; Ufu 19:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2014, kur. 10-11

1 Mambo ya Nyakati 16:32

Marejeo

  • +Zb 93:4
  • +Zb 98:7

1 Mambo ya Nyakati 16:33

Marejeo

  • +Zb 96:12; Isa 55:12
  • +Zb 96:13

1 Mambo ya Nyakati 16:34

Marejeo

  • +2Nya 5:13; Lu 18:19
  • +Zb 103:17; Yer 31:3; Omb 3:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2002, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 1/15 11

1 Mambo ya Nyakati 16:35

Marejeo

  • +Zb 68:20
  • +Mdo 26:17
  • +Zb 122:4
  • +Zb 149:1; Isa 43:21; Kol 3:16

1 Mambo ya Nyakati 16:36

Marejeo

  • +Ne 9:5; Zb 69:30, 31; 72:19
  • +Ne 8:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 9

1 Mambo ya Nyakati 16:37

Marejeo

  • +1Nya 15:17
  • +1Nya 16:4
  • +Kut 29:38; 2Nya 13:11; Ezr 3:4

1 Mambo ya Nyakati 16:39

Marejeo

  • +1Nya 12:28
  • +1Fa 3:4; 2Nya 1:3

1 Mambo ya Nyakati 16:40

Marejeo

  • +Kut 29:39; Hes 28:3; 2Nya 2:4; 31:3

1 Mambo ya Nyakati 16:41

Marejeo

  • +1Nya 25:1
  • +Ezr 8:20
  • +1Nya 16:4; 2Nya 5:13
  • +Ezr 3:11; Zb 86:15; 103:17

1 Mambo ya Nyakati 16:42

Marejeo

  • +1Nya 6:33
  • +1Nya 15:17
  • +2Nya 29:26
  • +1Nya 25:3

1 Mambo ya Nyakati 16:43

Marejeo

  • +2Sa 6:19; 1Fa 8:66

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 16:12Sa 6:17
1 Nya. 16:11Fa 8:1; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4
1 Nya. 16:11Fa 8:5; 2Nya 5:6
1 Nya. 16:2Law 1:3
1 Nya. 16:2Law 3:1
1 Nya. 16:2Hes 6:23; Yos 22:6; 2Sa 6:18; 1Fa 8:14
1 Nya. 16:22Sa 6:18
1 Nya. 16:32Sa 6:19
1 Nya. 16:41Nya 15:16
1 Nya. 16:4Hes 18:2
1 Nya. 16:4Zb 38:utangulizi; 103:2
1 Nya. 16:41Nya 16:7
1 Nya. 16:41Nya 23:5
1 Nya. 16:51Nya 6:39
1 Nya. 16:51Nya 15:18
1 Nya. 16:51Nya 15:21
1 Nya. 16:51Nya 15:17
1 Nya. 16:51Nya 15:16
1 Nya. 16:62Nya 15:14; 23:13
1 Nya. 16:72Nya 31:14
1 Nya. 16:72Sa 22:1; 23:1; 1Nya 16:4; 2Ko 9:12
1 Nya. 16:71Nya 6:39
1 Nya. 16:8Zb 105:1; 106:1; Kol 4:2
1 Nya. 16:8Isa 12:4; Ro 10:13
1 Nya. 16:8Zb 67:2; Mdo 2:14
1 Nya. 16:9Efe 5:19
1 Nya. 16:92Sa 22:50; 23:1
1 Nya. 16:9Zb 71:17; 107:43
1 Nya. 16:10Zb 105:3; Isa 45:25; Yer 9:24; 2Ko 10:17
1 Nya. 16:10Law 22:32
1 Nya. 16:101Nya 28:9; Zb 104:34; Flp 4:4
1 Nya. 16:11Amo 5:6; Sef 2:3
1 Nya. 16:11Zb 24:6; 27:8; Ho. 5:15
1 Nya. 16:12Zb 106:2; 111:4
1 Nya. 16:12Zb 105:5; 119:137
1 Nya. 16:13Isa 41:8
1 Nya. 16:13Zb 33:12; 135:4; 1Pe 5:13
1 Nya. 16:14Kut 15:2; Zb 95:7
1 Nya. 16:14Zb 119:164
1 Nya. 16:15Zb 105:8
1 Nya. 16:15Kum 7:9
1 Nya. 16:16Mwa 15:18; 17:2
1 Nya. 16:16Mwa 26:3
1 Nya. 16:17Mwa 28:14
1 Nya. 16:17Zb 105:10
1 Nya. 16:18Mwa 12:7; 17:8; 35:12
1 Nya. 16:18Kum 32:8
1 Nya. 16:19Mwa 34:30; Kum 26:5
1 Nya. 16:19Ebr 11:13
1 Nya. 16:20Mwa 20:1; 46:6
1 Nya. 16:20Zb 105:13
1 Nya. 16:21Mwa 31:42
1 Nya. 16:21Mwa 12:17; 20:3
1 Nya. 16:22Mwa 20:7; Zb 105:15
1 Nya. 16:23Zb 96:1
1 Nya. 16:23Zb 40:10
1 Nya. 16:25Zb 145:3; 2Ko 11:31
1 Nya. 16:25Kut 15:11
1 Nya. 16:26Law 19:4; Isa 45:20; 1Ko 8:4
1 Nya. 16:26Mwa 1:1; Zb 102:25; Isa 44:24
1 Nya. 16:27Kum 33:26; Zb 8:1
1 Nya. 16:27Zb 28:7; 1Ti 1:11
1 Nya. 16:28Zb 63:2; 68:34; 115:1
1 Nya. 16:29Kum 28:58; Ne 9:5; Zb 66:2; 148:13
1 Nya. 16:291Nya 29:5; Isa 18:7; Mt 5:23
1 Nya. 16:29Kum 26:10; Zb 95:6
1 Nya. 16:30Zb 104:5; Mhu 1:4
1 Nya. 16:31Zb 97:1; 98:4
1 Nya. 16:31Zb 96:10; Ufu 19:6
1 Nya. 16:32Zb 93:4
1 Nya. 16:32Zb 98:7
1 Nya. 16:33Zb 96:12; Isa 55:12
1 Nya. 16:33Zb 96:13
1 Nya. 16:342Nya 5:13; Lu 18:19
1 Nya. 16:34Zb 103:17; Yer 31:3; Omb 3:22
1 Nya. 16:35Zb 68:20
1 Nya. 16:35Mdo 26:17
1 Nya. 16:35Zb 122:4
1 Nya. 16:35Zb 149:1; Isa 43:21; Kol 3:16
1 Nya. 16:36Ne 9:5; Zb 69:30, 31; 72:19
1 Nya. 16:36Ne 8:6
1 Nya. 16:371Nya 15:17
1 Nya. 16:371Nya 16:4
1 Nya. 16:37Kut 29:38; 2Nya 13:11; Ezr 3:4
1 Nya. 16:391Nya 12:28
1 Nya. 16:391Fa 3:4; 2Nya 1:3
1 Nya. 16:40Kut 29:39; Hes 28:3; 2Nya 2:4; 31:3
1 Nya. 16:411Nya 25:1
1 Nya. 16:41Ezr 8:20
1 Nya. 16:411Nya 16:4; 2Nya 5:13
1 Nya. 16:41Ezr 3:11; Zb 86:15; 103:17
1 Nya. 16:421Nya 6:33
1 Nya. 16:421Nya 15:17
1 Nya. 16:422Nya 29:26
1 Nya. 16:421Nya 25:3
1 Nya. 16:432Sa 6:19; 1Fa 8:66
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 16:1-43

1 Mambo ya Nyakati

16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ 2 Daudi alipomaliza kulitoa lile toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akaanza kuwabariki+ watu katika jina la Yehova.+ 3 Zaidi ya hayo, akawagawia+ Waisraeli wote, mwanamume na mwanamke vilevile, kila mmoja mkate mmoja wa mviringo na keki ya tende na keki ya zabibu kavu. 4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli, 5 Asafu+ akiwa kichwa, na wa pili kwake Zekaria, na Yeieli na Shemiramothi na Yehieli na Matithia na Eliabu na Benaya na Obed-edomu na Yeieli,+ wakiwa na vyombo vya aina ya vinanda na vinubi,+ na Asafu+ akiwa na matoazi akiyapiga kwa sauti,+ 6 na Benaya na Yahazieli makuhani wakiwa na tarumbeta+ daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.

7 Ndipo katika siku hiyo Daudi alitoa mchango+ kwa mara ya kwanza ili kumshukuru+ Yehova kupitia kwa Asafu+ na ndugu zake:

 8 “Mshukuruni Yehova;+ liitieni jina lake,+

Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu!+

 9 Mwimbieni,+ mpigieni muziki,+

Jishughulisheni na matendo yake yote ya ajabu.+

10 Jisifuni katika jina+ lake takatifu,+

Moyo wa wale wanaomtafuta Yehova na ushangilie.+

11 Mtafuteni Yehova na nguvu zake,+

Utafuteni uso wake daima.+

12 Kumbukeni matendo yake ya ajabu ambayo ameyafanya,+

Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+

13 Enyi uzao wa Israeli mtumishi wake,+

Enyi wana wa Yakobo, wachaguliwa wake.+

14 Yeye ni Yehova Mungu wetu;+ maamuzi yake ya hukumu yako duniani pote.+

15 Kumbukeni agano lake mpaka wakati usio na kipimo,+

Neno ambalo aliamuru, mpaka vizazi elfu,+

16 Agano ambalo alifanya na Abrahamu,+

Na ahadi yake yenye kiapo aliyomwapia Isaka.+

17 Kiapo ambacho alikiendeleza kikiwa sharti kwa Yakobo,+

Kama agano lenye kudumu kwa Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+

18 Akisema, ‘Nitakupa wewe nchi ya Kanaani,+

Kuwa fungu la urithi wenu.’+

19 Huo ni wakati mlipokuwa wachache,+

Naam, wachache sana, na wakaaji wageni humo.+

20 Nao wakaendelea kutembea kutoka kwa taifa moja mpaka kwa taifa lingine,+

Na kutoka katika ufalme mmoja mpaka kwa kikundi kingine cha watu.+

21 Hakumruhusu yeyote awapunje,+

Bali aliwakaripia wafalme kwa sababu yao,+

22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.’+

23 Mwimbieni Yehova, enyi nyote wa dunia!+

Tangazeni siku baada ya siku wokovu anaotoa!+

24 Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa,

Matendo yake ya ajabu kati ya vikundi vyote vya watu.

25 Kwa maana Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

Naye ni wa kuogopwa kuliko miungu mingine yote.+

26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+

Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+

27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+

Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+

28 Mhesabieni Yehova, enyi familia za vikundi vya watu,

Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+

29 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake,+

Chukueni zawadi na mwingie mbele zake.+

Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+

30 Iweni na maumivu makali kwa sababu yake, enyi nyote watu wa dunia!

Pia nchi yenye kuzaa imefanywa imara:

Kamwe haitatikiswa.+

31 Mbingu na zifurahi, na dunia ishangilie,+

Nao waseme kati ya mataifa, ‘Yehova amekuwa mfalme!’+

32 Bahari na ingurume na pia vitu vinavyoijaza,+

Nchi na ifurahi na vyote vilivyo ndani yake.+

33 Na wakati uleule miti ya msituni na ishangilie kwa ajili ya Yehova,+

Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+

Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+

35 Na mseme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

Na utukusanye pamoja na kutukomboa kutoka kwa mataifa,+

Ili tulishukuru jina lako takatifu,+ ili tukusifu kwa shangwe.+

36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+

Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+

37 Kisha akawaacha hapo Asafu+ na ndugu zake mbele ya sanduku la agano la Yehova ili wahudumu+ daima mbele ya lile Sanduku, kulingana na takwa la kila siku;+ 38 na Obed-edomu na ndugu zake, 68, na Obed-edomu mwana wa Yeduthuni na Hosa kuwa watunza-malango; 39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+ 40 ili watoe matoleo ya kuteketezwa kwa Yehova juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa daima asubuhi na jioni na kwa ajili ya yote ambayo yameandikwa katika sheria ya Yehova ambayo aliamuru Israeli;+ 41 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni na wale watu wengine wachaguliwa waliowekwa+ kwa majina ili wamshukuru Yehova,+ kwa sababu “fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo”;+ 42 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni,+ wapige tarumbeta+ na matoazi na vyombo vya wimbo wa Mungu wa kweli; na wana+ wa Yeduthuni langoni. 43 Na watu wote wakaanza kwenda kila mmoja nyumbani kwake.+ Basi Daudi akaenda ili kuibariki nyumba yake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki