2 Mambo ya Nyakati 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Kore mwana wa Imna Mlawi alikuwa mtunza-lango+ upande wa mashariki,+ mwenye kusimamia matoleo ya hiari+ ya Mungu wa kweli, ili kutoa mchango+ wa Yehova na vitu vitakatifu zaidi.+
14 Na Kore mwana wa Imna Mlawi alikuwa mtunza-lango+ upande wa mashariki,+ mwenye kusimamia matoleo ya hiari+ ya Mungu wa kweli, ili kutoa mchango+ wa Yehova na vitu vitakatifu zaidi.+