2 Mambo ya Nyakati 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Kore mwana wa Imna, Mlawi aliyekuwa mlinzi wa malango upande wa mashariki,+ alisimamia matoleo ya hiari+ ya Mungu wa kweli, naye aligawa mchango uliotolewa kwa Yehova+ na pia vitu vitakatifu kabisa.+
14 Na Kore mwana wa Imna, Mlawi aliyekuwa mlinzi wa malango upande wa mashariki,+ alisimamia matoleo ya hiari+ ya Mungu wa kweli, naye aligawa mchango uliotolewa kwa Yehova+ na pia vitu vitakatifu kabisa.+