Mambo ya Walawi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Mambo ya Walawi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Nayo hii ndiyo sheria ya toleo la hatia:+ Ni kitu kitakatifu zaidi.+
10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+