Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye ataleta toleo lake la hatia+ mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda, yaani, wa kike kutoka katika kundi, mwana-kondoo jike au mwana-mbuzi jike,+ kwa ajili ya toleo la dhambi; naye kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake.+

  • Mambo ya Walawi 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamletea Yehova toleo la hatia, kondoo-dume ambaye hana kasoro+ kutoka katika kundi kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia,+ kwa kuhani.

  • Mambo ya Walawi 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye kuhani atamchukua yule mwana-kondoo dume na kumtoa kwa ajili ya toleo la hatia+ pamoja na ile logi+ moja ya mafuta naye atavitikisa huku na huku kama toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye atamletea Yehova toleo lake la hatia kwenye mwingilio wa hema la mkutano, kondoo-dume wa toleo la hatia.+

  • Hesabu 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye ataishi kama Mnadhiri+ kwa Yehova kwa siku za Unadhiri wake, naye ataleta mwana-kondoo dume aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la hatia;+ nazo siku zile za kwanza hazitahesabiwa kwa sababu aliunajisi Unadhiri wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki