24 Nawe utaviweka vyote hivyo kwenye mikono ya Haruni na kwenye mikono ya wanawe,+ nawe utavitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+
30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.