Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baada ya hayo akaviweka vyote hivyo juu ya mikono ya Haruni na mikono ya wanawe na kuanza kuvitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+

  • Hesabu 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Walawi wakajitakasa+ na kufua mavazi yao, kisha Haruni akawasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akafanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki