30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.
27 Baada ya hayo akaviweka vyote hivyo juu ya mikono ya Haruni na mikono ya wanawe na kuanza kuvitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+
21 Basi Walawi wakajitakasa+ na kufua mavazi yao, kisha Haruni akawasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akafanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.+