Mambo ya Walawi 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ataleta mafuta+ pamoja na kidari kwa mikono yake mwenyewe ili vitu hivyo viwe dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto, naye atavitikisa kwenda mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa+ mbele za Yehova.
30 Ataleta mafuta+ pamoja na kidari kwa mikono yake mwenyewe ili vitu hivyo viwe dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto, naye atavitikisa kwenda mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa+ mbele za Yehova.