Hesabu 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Walawi wakajitakasa na kufua mavazi yao,+ kisha Haruni akawatoa* kama toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akatoa dhabihu ya kufunika dhambi zao ili kuwatakasa.+
21 Basi Walawi wakajitakasa na kufua mavazi yao,+ kisha Haruni akawatoa* kama toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akatoa dhabihu ya kufunika dhambi zao ili kuwatakasa.+