Hesabu 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Walawi wakajitakasa+ na kufua mavazi yao, kisha Haruni akawasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akafanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.+
21 Basi Walawi wakajitakasa+ na kufua mavazi yao, kisha Haruni akawasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akafanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.+