24 Nawe utaviweka vyote hivyo kwenye mikono ya Haruni na kwenye mikono ya wanawe,+ nawe utavitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+
27 Baada ya hayo akaviweka vyote hivyo juu ya mikono ya Haruni na mikono ya wanawe na kuanza kuvitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+
20 Naye kuhani atavitikisa huku na huku viwe toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Ni kitu kitakatifu kwa kuhani huyo, pamoja na kidari+ cha lile toleo la kutikisa na mguu wa mchango.+ Na baadaye Mnadhiri huyo anaweza kunywa divai.+