Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nawe utaviweka vyote hivyo kwenye mikono ya Haruni na kwenye mikono ya wanawe,+ nawe utavitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baada ya hayo akaviweka vyote hivyo juu ya mikono ya Haruni na mikono ya wanawe na kuanza kuvitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini vidari na ule mguu wa kuume, Haruni alivitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova, kama vile Musa alivyoamuru.

  • Hesabu 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye kuhani atavitikisa huku na huku viwe toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Ni kitu kitakatifu kwa kuhani huyo, pamoja na kidari+ cha lile toleo la kutikisa na mguu wa mchango.+ Na baadaye Mnadhiri huyo anaweza kunywa divai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki