20 Halafu kuhani atavitikisa vitu hivyo kwenda mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+ Ni vitu vitakatifu kwa kuhani, pamoja na kidari cha toleo la kutikiswa na mguu uliotolewa kama mchango.+ Baada ya hayo, Mnadhiri huyo anaweza kunywa divai.