Mambo ya Walawi 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.
30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.