12 Naye kuhani atamchukua yule mwana-kondoo dume na kumtoa kwa ajili ya toleo la hatia+ pamoja na ile logi+ moja ya mafuta naye atavitikisa huku na huku kama toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.
12 Naye ataishi kama Mnadhiri+ kwa Yehova kwa siku za Unadhiri wake, naye ataleta mwana-kondoo dume aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la hatia;+ nazo siku zile za kwanza hazitahesabiwa kwa sababu aliunajisi Unadhiri wake.