Mambo ya Walawi 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hautaokwa pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Nimeutoa uwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Ni kitu kitakatifu zaidi,+ kama lile toleo la dhambi na kama lile toleo la hatia. Mambo ya Walawi 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+
17 Hautaokwa pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Nimeutoa uwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Ni kitu kitakatifu zaidi,+ kama lile toleo la dhambi na kama lile toleo la hatia.
22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+