Mambo ya Walawi 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. Mathayo 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakafahamu kwamba alisema juu ya kujihadhari, si na chachu ya ile mikate, bali na mafundisho+ ya Mafarisayo na Masadukayo. 1 Petro 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+
11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
12 Ndipo wakafahamu kwamba alisema juu ya kujihadhari, si na chachu ya ile mikate, bali na mafundisho+ ya Mafarisayo na Masadukayo.