Yohana 8:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Ni nani kati yenu anayenihukumu kuwa na hatia ya dhambi?+ Ikiwa ninasema kweli, kwa nini hamniamini? Waebrania 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+
46 Ni nani kati yenu anayenihukumu kuwa na hatia ya dhambi?+ Ikiwa ninasema kweli, kwa nini hamniamini?
15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+