19 Siku saba unga wowote uliokandwa wenye chachu usipatikane katika nyumba zenu, kwa sababu mtu yeyote anayeonja kitu kilicho na chachu, awe mkaaji mgeni au mwenyeji wa nchi,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka katika kusanyiko la Israeli.+
17 Hautaokwa pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Nimeutoa uwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Ni kitu kitakatifu zaidi,+ kama lile toleo la dhambi na kama lile toleo la hatia.
7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+