Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Siku saba unga wowote uliokandwa wenye chachu usipatikane katika nyumba zenu, kwa sababu mtu yeyote anayeonja kitu kilicho na chachu, awe mkaaji mgeni au mwenyeji wa nchi,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka katika kusanyiko la Israeli.+

  • Mambo ya Walawi 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hautaokwa pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Nimeutoa uwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Ni kitu kitakatifu zaidi,+ kama lile toleo la dhambi na kama lile toleo la hatia.

  • Mathayo 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo wakafahamu kwamba alisema juu ya kujihadhari, si na chachu ya ile mikate, bali na mafundisho+ ya Mafarisayo na Masadukayo.

  • 1 Wakorintho 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+

  • Wagalatia 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Chachu kidogo huchachusha donge zima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki