25 Tena Daudi na wakuu+ wa vikundi vya utumishi+ wakatenga kwa ajili ya utumishi sehemu ya wana wa Asafu, Hemani+ na Yeduthuni+ wenye kutoa unabii kwa vinubi,+ kwa vinanda+ na kwa matoazi.+ Na kutoka katika hesabu yao kukawa na wanaume rasmi kwa ajili ya utumishi wao.