-
2 Mambo ya Nyakati 35:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Na waimbaji+ wana wa Asafu+ walikuwa katika cheo chao kulingana na amri ya Daudi+ na ya Asafu+ na ya Hemani+ na ya Yeduthuni,+ mwonaji+ wa mfalme; na watunza-malango+ walikuwa katika malango mbalimbali.+ Hawakuhitaji kuacha utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walikuwa wamewafanyia matayarisho.+
-