1 Mambo ya Nyakati 16:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni,+ wapige tarumbeta+ na matoazi na vyombo vya wimbo wa Mungu wa kweli; na wana+ wa Yeduthuni langoni. 1 Mambo ya Nyakati 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wa Yeduthuni:+ wana wa Yeduthuni, Gedalia+ na Zeri+ na Yeshaya,+ na Shimei, Hashabia na Matithia,+ sita, chini ya amri ya Yeduthuni baba yao, aliyekuwa akitoa unabii akiwa na kinubi kwa ajili ya kumshukuru na kumsifu Yehova.+
42 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni,+ wapige tarumbeta+ na matoazi na vyombo vya wimbo wa Mungu wa kweli; na wana+ wa Yeduthuni langoni.
3 Wa Yeduthuni:+ wana wa Yeduthuni, Gedalia+ na Zeri+ na Yeshaya,+ na Shimei, Hashabia na Matithia,+ sita, chini ya amri ya Yeduthuni baba yao, aliyekuwa akitoa unabii akiwa na kinubi kwa ajili ya kumshukuru na kumsifu Yehova.+