1 Mambo ya Nyakati 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kutoka kwa Yeduthuni,+ wana wa Yeduthuni walikuwa: Gedalia, Zeri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia,+ wana sita, waliokuwa chini ya usimamizi wa Yeduthuni baba yao, aliyetoa unabii kwa kutumia kinubi, akimshukuru na kumsifu Yehova.+
3 Kutoka kwa Yeduthuni,+ wana wa Yeduthuni walikuwa: Gedalia, Zeri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia,+ wana sita, waliokuwa chini ya usimamizi wa Yeduthuni baba yao, aliyetoa unabii kwa kutumia kinubi, akimshukuru na kumsifu Yehova.+