Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 25:1

Marejeo

  • +1Nya 24:5
  • +1Nya 27:3
  • +1Nya 16:41; 2Nya 5:12
  • +2Nya 35:15
  • +1Fa 10:12; Zb 81:2
  • +1Sa 10:5; 1Nya 15:16
  • +2Nya 29:25; Zb 150:5

1 Mambo ya Nyakati 25:2

Marejeo

  • +1Nya 25:9
  • +1Nya 25:14
  • +Ne 12:46

1 Mambo ya Nyakati 25:3

Marejeo

  • +1Nya 16:42
  • +1Nya 25:9
  • +1Nya 25:11
  • +1Nya 25:15
  • +1Nya 15:18
  • +Zb 92:1; Yer 33:11; Efe 5:19

1 Mambo ya Nyakati 25:4

Marejeo

  • +1Nya 15:19
  • +1Nya 25:13
  • +1Nya 25:16
  • +1Nya 24:24
  • +1Nya 25:23
  • +1Nya 25:27
  • +1Nya 25:29
  • +1Nya 25:31
  • +1Nya 25:24
  • +1Nya 25:26
  • +1Nya 25:28

1 Mambo ya Nyakati 25:5

Marejeo

  • +1Sa 9:9
  • +Zb 127:3; Isa 8:18

1 Mambo ya Nyakati 25:6

Marejeo

  • +1Nya 13:8
  • +1Nya 15:16
  • +1Nya 16:5
  • +1Nya 25:1

1 Mambo ya Nyakati 25:7

Marejeo

  • +Zb 150:1
  • +1Nya 15:22

1 Mambo ya Nyakati 25:8

Marejeo

  • +Met 16:33; 18:18; Mdo 1:26
  • +1Nya 24:31
  • +1Nya 15:22

1 Mambo ya Nyakati 25:9

Marejeo

  • +1Nya 25:2
  • +1Nya 25:3

1 Mambo ya Nyakati 25:10

Marejeo

  • +1Nya 25:2

1 Mambo ya Nyakati 25:11

Marejeo

  • +1Nya 25:3

1 Mambo ya Nyakati 25:12

Marejeo

  • +1Nya 25:2

1 Mambo ya Nyakati 25:14

Marejeo

  • +1Nya 25:2

1 Mambo ya Nyakati 25:18

Marejeo

  • +1Nya 25:4

1 Mambo ya Nyakati 25:20

Marejeo

  • +1Nya 25:4

1 Mambo ya Nyakati 25:30

Marejeo

  • +1Nya 25:4

1 Mambo ya Nyakati 25:31

Marejeo

  • +1Nya 25:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 25:11Nya 24:5
1 Nya. 25:11Nya 27:3
1 Nya. 25:11Nya 16:41; 2Nya 5:12
1 Nya. 25:12Nya 35:15
1 Nya. 25:11Fa 10:12; Zb 81:2
1 Nya. 25:11Sa 10:5; 1Nya 15:16
1 Nya. 25:12Nya 29:25; Zb 150:5
1 Nya. 25:21Nya 25:9
1 Nya. 25:21Nya 25:14
1 Nya. 25:2Ne 12:46
1 Nya. 25:31Nya 16:42
1 Nya. 25:31Nya 25:9
1 Nya. 25:31Nya 25:11
1 Nya. 25:31Nya 25:15
1 Nya. 25:31Nya 15:18
1 Nya. 25:3Zb 92:1; Yer 33:11; Efe 5:19
1 Nya. 25:41Nya 15:19
1 Nya. 25:41Nya 25:13
1 Nya. 25:41Nya 25:16
1 Nya. 25:41Nya 24:24
1 Nya. 25:41Nya 25:23
1 Nya. 25:41Nya 25:27
1 Nya. 25:41Nya 25:29
1 Nya. 25:41Nya 25:31
1 Nya. 25:41Nya 25:24
1 Nya. 25:41Nya 25:26
1 Nya. 25:41Nya 25:28
1 Nya. 25:51Sa 9:9
1 Nya. 25:5Zb 127:3; Isa 8:18
1 Nya. 25:61Nya 13:8
1 Nya. 25:61Nya 15:16
1 Nya. 25:61Nya 16:5
1 Nya. 25:61Nya 25:1
1 Nya. 25:7Zb 150:1
1 Nya. 25:71Nya 15:22
1 Nya. 25:8Met 16:33; 18:18; Mdo 1:26
1 Nya. 25:81Nya 24:31
1 Nya. 25:81Nya 15:22
1 Nya. 25:91Nya 25:2
1 Nya. 25:91Nya 25:3
1 Nya. 25:101Nya 25:2
1 Nya. 25:111Nya 25:3
1 Nya. 25:121Nya 25:2
1 Nya. 25:141Nya 25:2
1 Nya. 25:181Nya 25:4
1 Nya. 25:201Nya 25:4
1 Nya. 25:301Nya 25:4
1 Nya. 25:311Nya 25:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 25:1-31

1 Mambo ya Nyakati

25 Tena Daudi na wakuu+ wa vikundi vya utumishi+ wakatenga kwa ajili ya utumishi sehemu ya wana wa Asafu, Hemani+ na Yeduthuni+ wenye kutoa unabii kwa vinubi,+ kwa vinanda+ na kwa matoazi.+ Na kutoka katika hesabu yao kukawa na wanaume rasmi kwa ajili ya utumishi wao. 2 Wa wana wa Asafu, Zakuri na Yosefu+ na Nethania na Asharela,+ wana wa Asafu chini ya amri ya Asafu+ mwenye kutoa unabii chini ya mfalme. 3 Wa Yeduthuni:+ wana wa Yeduthuni, Gedalia+ na Zeri+ na Yeshaya,+ na Shimei, Hashabia na Matithia,+ sita, chini ya amri ya Yeduthuni baba yao, aliyekuwa akitoa unabii akiwa na kinubi kwa ajili ya kumshukuru na kumsifu Yehova.+ 4 Wa Hemani:+ wana wa Hemani, Bukia,+ Matania,+ Uzieli,+ Shebueli na Yerimothi, Hanania,+ Hanani, Eliatha,+ Gidalti+ na Romamti-ezeri,+ Yoshbekasha,+ Malothi,+ Hothiri,+ Mahaziothi. 5 Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Hemani, mwonaji+ wa mfalme katika mambo ya Mungu wa kweli ili ainue pembe yake; basi Mungu wa kweli akampa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.+ 6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.

Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+

7 Na hesabu yao pamoja na ndugu zao waliozoezwa nyimbo kwa Yehova,+ wote wakiwa wajuzi,+ ikawa 288. 8 Basi wakapiga kura+ kuhusu vitu vinavyopaswa kutunzwa, mdogo akiwa sawasawa na mkubwa,+ mwenye ujuzi+ pamoja na mwenye kujifunza.

9 Na kura ikatoka: ya kwanza ya Asafu kwa ajili ya Yosefu,+ ya pili ya Gedalia+ (yeye na ndugu zake na wanawe walikuwa 12); 10 ya tatu ya Zakuri,+ wanawe na ndugu zake, 12; 11 ya 4 ya Izri,+ wanawe na ndugu zake, 12; 12 ya 5 ya Nethania,+ wanawe na ndugu zake, 12; 13 ya 6 ya Bukia, wanawe na ndugu zake, 12; 14 ya 7 ya Yesharela,+ wanawe na ndugu zake, 12; 15 ya 8 ya Yeshaya, wanawe na ndugu zake, 12; 16 ya 9 ya Matania, wanawe na ndugu zake, 12; 17 ya 10 ya Shimei, wanawe na ndugu zake, 12; 18 ya 11 ya Azareli,+ wanawe na ndugu zake, 12; 19 ya 12 ya Hashabia, wanawe na ndugu zake, 12; 20 ya 13, ya Shubaeli,+ wanawe na ndugu zake, 12; 21 ya 14, ya Matithia, wanawe na ndugu zake, 12; 22 ya 15, ya Yeremothi, wanawe na ndugu zake, 12; 23 ya 16, ya Hanania, wanawe na ndugu zake, 12; 24 ya 17, ya Yoshbekasha, wanawe na ndugu zake, 12; 25 ya 18, ya Hanani, wanawe na ndugu zake, 12; 26 ya 19, ya Malothi, wanawe na ndugu zake, 12; 27 ya 20, ya Eliatha, wanawe na ndugu zake, 12; 28 ya 21, ya Hothiri, wanawe na ndugu zake, 12; 29 ya 22, ya Gidalti, wanawe na ndugu zake, 12; 30 ya 23, ya Mahaziothi,+ wanawe na ndugu zake, 12; 31 ya 24, ya Romamti-ezeri,+ wanawe na ndugu zake, 12.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki