1 Mambo ya Nyakati 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tena, wakawagawa kwa kura,+ hawa pamoja na wale, kwa maana kulipaswa kuwa na wakuu wa mahali patakatifu+ na wakuu wa Mungu wa kweli kutoka kwa wana wa Eleazari na kutoka kwa wana wa Ithamari.
5 Tena, wakawagawa kwa kura,+ hawa pamoja na wale, kwa maana kulipaswa kuwa na wakuu wa mahali patakatifu+ na wakuu wa Mungu wa kweli kutoka kwa wana wa Eleazari na kutoka kwa wana wa Ithamari.