1 Mambo ya Nyakati 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hao wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao wakiwa waimbaji katika nyumba ya Yehova, wakitumia matoazi, vinanda, na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
6 Hao wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao wakiwa waimbaji katika nyumba ya Yehova, wakitumia matoazi, vinanda, na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.