Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 26:1

Marejeo

  • +1Nya 9:22; 2Nya 23:19
  • +Hes 26:11; Zb 44:utangulizi; 49:utangulizi
  • +1Nya 26:14

1 Mambo ya Nyakati 26:4

Marejeo

  • +1Nya 16:38

1 Mambo ya Nyakati 26:5

Marejeo

  • +Kum 28:11; Zb 127:3

1 Mambo ya Nyakati 26:9

Marejeo

  • +1Nya 26:14

1 Mambo ya Nyakati 26:10

Marejeo

  • +Kum 21:17
  • +1Nya 5:1

1 Mambo ya Nyakati 26:12

Marejeo

  • +1Nya 25:8

1 Mambo ya Nyakati 26:13

Marejeo

  • +Met 16:33; 18:18; Mdo 1:26
  • +1Nya 23:11

1 Mambo ya Nyakati 26:14

Marejeo

  • +1Nya 26:1
  • +1Nya 26:2
  • +1Nya 27:32; Met 12:8; 1Ti 3:13
  • +1Nya 9:24

1 Mambo ya Nyakati 26:15

Marejeo

  • +1Nya 26:4
  • +2Nya 25:24

1 Mambo ya Nyakati 26:16

Marejeo

  • +1Nya 26:10
  • +1Nya 23:32
  • +Ne 12:24

1 Mambo ya Nyakati 26:17

Marejeo

  • +2Nya 8:14
  • +1Nya 26:15

1 Mambo ya Nyakati 26:18

Marejeo

  • +1Nya 26:16

1 Mambo ya Nyakati 26:19

Marejeo

  • +Hes 26:11; Zb 44:utangulizi; 49:utangulizi
  • +1Nya 23:6

1 Mambo ya Nyakati 26:20

Marejeo

  • +1Fa 14:26; 1Nya 9:26
  • +1Fa 7:51; 1Nya 18:11

1 Mambo ya Nyakati 26:21

Marejeo

  • +1Nya 23:7
  • +1Nya 29:8

1 Mambo ya Nyakati 26:22

Marejeo

  • +1Nya 23:8
  • +1Fa 15:18

1 Mambo ya Nyakati 26:23

Marejeo

  • +Hes 3:27

1 Mambo ya Nyakati 26:24

Marejeo

  • +1Nya 24:20

1 Mambo ya Nyakati 26:25

Marejeo

  • +Kut 18:4
  • +1Nya 23:17

1 Mambo ya Nyakati 26:26

Marejeo

  • +Hes 31:50; 1Nya 18:11
  • +1Nya 29:3
  • +1Nya 29:7

1 Mambo ya Nyakati 26:27

Marejeo

  • +Yos 6:19
  • +Hes 31:28

1 Mambo ya Nyakati 26:28

Marejeo

  • +1Sa 9:9
  • +1Sa 14:50
  • +2Sa 20:23
  • +2Sa 2:18

1 Mambo ya Nyakati 26:29

Marejeo

  • +1Nya 23:12
  • +Ne 11:16
  • +Kum 17:9; 2Nya 19:8

1 Mambo ya Nyakati 26:30

Marejeo

  • +1Nya 23:12, 19
  • +1Nya 26:6

1 Mambo ya Nyakati 26:31

Marejeo

  • +1Nya 23:19
  • +2Sa 5:4; 1Nya 29:27
  • +Yos 13:25; 21:39
  • +Mwa 31:21; 1Sa 13:7

1 Mambo ya Nyakati 26:32

Marejeo

  • +1Nya 26:9
  • +1Nya 24:31
  • +1Nya 12:37
  • +2Nya 19:11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 26:11Nya 9:22; 2Nya 23:19
1 Nya. 26:1Hes 26:11; Zb 44:utangulizi; 49:utangulizi
1 Nya. 26:11Nya 26:14
1 Nya. 26:41Nya 16:38
1 Nya. 26:5Kum 28:11; Zb 127:3
1 Nya. 26:91Nya 26:14
1 Nya. 26:10Kum 21:17
1 Nya. 26:101Nya 5:1
1 Nya. 26:121Nya 25:8
1 Nya. 26:13Met 16:33; 18:18; Mdo 1:26
1 Nya. 26:131Nya 23:11
1 Nya. 26:141Nya 26:1
1 Nya. 26:141Nya 26:2
1 Nya. 26:141Nya 27:32; Met 12:8; 1Ti 3:13
1 Nya. 26:141Nya 9:24
1 Nya. 26:151Nya 26:4
1 Nya. 26:152Nya 25:24
1 Nya. 26:161Nya 26:10
1 Nya. 26:161Nya 23:32
1 Nya. 26:16Ne 12:24
1 Nya. 26:172Nya 8:14
1 Nya. 26:171Nya 26:15
1 Nya. 26:181Nya 26:16
1 Nya. 26:19Hes 26:11; Zb 44:utangulizi; 49:utangulizi
1 Nya. 26:191Nya 23:6
1 Nya. 26:201Fa 14:26; 1Nya 9:26
1 Nya. 26:201Fa 7:51; 1Nya 18:11
1 Nya. 26:211Nya 23:7
1 Nya. 26:211Nya 29:8
1 Nya. 26:221Nya 23:8
1 Nya. 26:221Fa 15:18
1 Nya. 26:23Hes 3:27
1 Nya. 26:241Nya 24:20
1 Nya. 26:25Kut 18:4
1 Nya. 26:251Nya 23:17
1 Nya. 26:26Hes 31:50; 1Nya 18:11
1 Nya. 26:261Nya 29:3
1 Nya. 26:261Nya 29:7
1 Nya. 26:27Yos 6:19
1 Nya. 26:27Hes 31:28
1 Nya. 26:281Sa 9:9
1 Nya. 26:281Sa 14:50
1 Nya. 26:282Sa 20:23
1 Nya. 26:282Sa 2:18
1 Nya. 26:291Nya 23:12
1 Nya. 26:29Ne 11:16
1 Nya. 26:29Kum 17:9; 2Nya 19:8
1 Nya. 26:301Nya 23:12, 19
1 Nya. 26:301Nya 26:6
1 Nya. 26:311Nya 23:19
1 Nya. 26:312Sa 5:4; 1Nya 29:27
1 Nya. 26:31Yos 13:25; 21:39
1 Nya. 26:31Mwa 31:21; 1Sa 13:7
1 Nya. 26:321Nya 26:9
1 Nya. 26:321Nya 24:31
1 Nya. 26:321Nya 12:37
1 Nya. 26:322Nya 19:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 26:1-32

1 Mambo ya Nyakati

26 Kwa ajili ya migawanyo ya watunza-malango:+ Wa Wakora,+ Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu. 2 Na Meshelemia alikuwa na wana: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne, 3 Elamu wa tano, Yehohanani wa sita, Elieho-enai wa saba. 4 Na Obed-edomu+ alikuwa na wana: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu na Sakari wa nne na Nethaneli wa tano, 5 Amieli wa sita, Isakari wa saba, Peulethai wa nane; kwa maana Mungu alikuwa amembariki.+

6 Naye Shemaya mwana wake alizaa wana waliokuwa watawala wa nyumba ya baba yao, kwa kuwa walikuwa wanaume wenye uwezo, wenye nguvu. 7 Wana wa Shemaya, Othni na Refaeli na Obedi, Elzabadi, ambaye ndugu zake walikuwa wanaume wenye uwezo, Elihu na Semakia. 8 Hawa wote ndio waliokuwa wa wana wa Obed-edomu, wao na wana wao na ndugu zao, wanaume wenye uwezo na wenye mamlaka kwa ajili ya utumishi, 62 wa Obed-edomu. 9 Na Meshelemia+ alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, kumi na wanane. 10 Na Hosa wa wana wa Merari alikuwa na wana. Shimri ndiye aliyekuwa kichwa, kwa maana hakuwa mzaliwa wa kwanza+ lakini baba yake akamweka kuwa kichwa;+ 11 Hilkia wa pili, Tebalia wa tatu, Zekaria wa nne. Wana wote na ndugu za Hosa walikuwa kumi na watatu.

12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova. 13 Basi wakapiga kura+ kwa ajili ya mdogo sawasawa na kwa mkubwa kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao, kwa ajili ya malango mbalimbali. 14 Ndipo kura ya upande wa mashariki ikamwangukia Shelemia.+ Kwa ajili ya Zekaria+ mwana wake, mshauri+ mwenye busara, walipiga kura, na kura yake ikawa upande wa kaskazini.+ 15 Obed-edomu akawa na yake upande wa kusini, na wanawe+ wakawa na maghala.+ 16 Shupimu na Hosa+ wakawa na yao upande wa magharibi karibu na Lango la Shalekethi kando ya njia kuu inayopanda kwenda juu, kikundi cha ulinzi+ kikilingana na kikundi cha ulinzi;+ 17 upande wa mashariki kulikuwa na Walawi sita; upande wa kaskazini kila siku, wanne; upande wa kusini kila siku,+ wanne; na kwa ajili ya maghala,+ wawili wawili; 18 kwa ajili ya roshani upande wa magharibi, wanne kando ya njia kuu,+ wawili kwenye roshani. 19 Hiyo ilikuwa migawanyo ya watunza-malango ya wana wa Wakora+ na ya wana wa Merari.+

20 Kwa habari ya Walawi, Ahiya alikuwa juu ya hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli na juu ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.+ 21 Wana wa Ladani,+ wana wa Mgershoni wa Ladani; walio vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba wa Ladani Mgershoni, Yehieli.+ 22 Wana wa Yehieli, Zethamu na Yoeli+ ndugu yake, walikuwa juu ya hazina+ za nyumba ya Yehova. 23 Kwa ajili ya Waamramu, kwa ajili ya Waishari, kwa ajili ya Wahebroni, kwa ajili ya Wauzieli,+ 24 hata Shebueli+ mwana wa Gershomu mwana wa Musa alikuwa kiongozi juu ya maghala. 25 Kwa habari ya ndugu zake, wa Eliezeri+ kulikuwa na Rehabia+ mwana wake na Yeshaya mwana wake na Yoramu mwana wake na Zikri mwana wake na Shelomothi mwana wake. 26 Huyu Shelomothi na ndugu zake walikuwa juu ya hazina zote za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu,+ ambavyo Daudi+ mfalme na walio vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ na wakuu wa maelfu na wa mamia, na wakuu wa jeshi walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. 27 Walikuwa wamefanya vitu kuwa vitakatifu kutoka katika vita+ na kutoka katika nyara+ ili kuidumisha nyumba ya Yehova. 28 Na pia vyote ambavyo Samweli mwonaji+ na Sauli mwana wa Kishi na Abneri+ mwana wa Neri na Yoabu+ mwana wa Seruya+ walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. Chochote ambacho mtu alikifanya kuwa kitakatifu kilikuwa chini ya Shelomithi na ndugu zake.

29 Wa Waishari,+ Kenania na wanawe walikuwa kwa ajili ya shughuli za nje+ wakiwa maofisa na waamuzi+ juu ya Israeli.

30 Wa Wahebroni,+ Hashabia na ndugu zake, wanaume wenye uwezo,+ elfu moja na mia saba, walikuwa juu ya usimamizi wa Israeli katika eneo la Yordani upande wa magharibi kwa ajili ya kazi yote ya Yehova na kwa ajili ya utumishi wa mfalme. 31 Wa Wahebroni, Yeriya+ alikuwa kichwa cha Wahebroni kulingana na vizazi vyao kulingana na mababu zao. Walitafutwa katika mwaka wa 40+ wa ufalme wa Daudi, nao mashujaa, wanaume wenye nguvu wakapatikana kati yao huko Yazeri+ katika Gileadi.+ 32 Na ndugu zake, wanaume wenye uwezo,+ walikuwa elfu mbili na mia saba, walio vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba.+ Basi Daudi mfalme akawapa mgawo kuwa juu ya Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Wamanase,+ kwa ajili ya kila jambo la Mungu wa kweli na jambo+ la mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki