Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. + Methali 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kura hutuliza hata magomvi,+ nayo huwatenganisha hata watu wenye nguvu.+ Matendo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+
33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +
26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+