1 Samweli 14:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, utoe Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachukuliwa, nao watu wakaondoka.+ Matendo 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakasali na kusema: “Wewe, Ee Yehova, ambaye unajua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua,
41 Na Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, utoe Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachukuliwa, nao watu wakaondoka.+
24 Nao wakasali na kusema: “Wewe, Ee Yehova, ambaye unajua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili ambaye umemchagua,