Kutoka 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima. Mambo ya Walawi 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akamvika kile kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho. Kumbukumbu la Torati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+ Ezra 2:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Basi huyo Tirshatha+ akawaambia kwamba hawangeweza kula+ katika vile vitu vitakatifu zaidi mpaka kuhani mwenye Urimu+ na Thumimu asimame.
30 Nawe utaweka Urimu+ na Thumimu ndani ya kile kifuko cha kifuani cha hukumu, nazo zitakuwa juu ya moyo wa Haruni anapoingia mbele za Yehova; naye Haruni atachukua hukumu+ za wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele za Yehova daima.
8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+
63 Basi huyo Tirshatha+ akawaambia kwamba hawangeweza kula+ katika vile vitu vitakatifu zaidi mpaka kuhani mwenye Urimu+ na Thumimu asimame.