Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha akamvika kile kifuko cha kifuani+ na kutia Urimu na Thumimu+ ndani ya kifuko hicho.

  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”

  • Kumbukumbu la Torati 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na Lawi akamwambia:+

      “Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+

      Uliyemjaribu huko Masa.+

      Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+

  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+

  • Ezra 2:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Basi huyo Tirshatha+ akawaambia kwamba hawangeweza kula+ katika vile vitu vitakatifu zaidi mpaka kuhani mwenye Urimu+ na Thumimu asimame.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki