1 Samweli 14:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Sauli akaanza kumuuliza Mungu: “Je, nishuke kuwafuatilia Wafilisti?+ Je, utawatia mkononi mwa Israeli?”+ Naye hakumjibu siku hiyo.+ 1 Mambo ya Nyakati 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye hakuuliza kutoka kwa Yehova.+ Kwa hiyo akamuua na kumpa Daudi mwana wa Yese ufalme.+
37 Na Sauli akaanza kumuuliza Mungu: “Je, nishuke kuwafuatilia Wafilisti?+ Je, utawatia mkononi mwa Israeli?”+ Naye hakumjibu siku hiyo.+