Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 10:1

Marejeo

  • +1Sa 31:1
  • +Law 26:17; Kum 32:30; 2Sa 1:21

1 Mambo ya Nyakati 10:2

Marejeo

  • +2Sa 1:25
  • +1Nya 8:33
  • +1Nya 9:39
  • +1Sa 31:2

1 Mambo ya Nyakati 10:3

Marejeo

  • +1Sa 26:10; 31:3

1 Mambo ya Nyakati 10:4

Marejeo

  • +1Sa 31:4
  • +Amu 9:54; 2Sa 1:9
  • +Amu 15:18; 2Sa 1:20
  • +Amu 16:21, 23
  • +1Sa 31:4
  • +Kut 20:13; 1Nya 10:13; Mt 27:5

1 Mambo ya Nyakati 10:5

Marejeo

  • +1Sa 31:5

1 Mambo ya Nyakati 10:6

Marejeo

  • +1Sa 12:25; Ho. 13:11

1 Mambo ya Nyakati 10:7

Marejeo

  • +Kum 28:25; 1Sa 13:6; 31:7

1 Mambo ya Nyakati 10:8

Marejeo

  • +1Sa 31:8
  • +1Sa 28:4

1 Mambo ya Nyakati 10:9

Marejeo

  • +1Sa 31:9
  • +2Sa 1:20
  • +Amu 16:24; Da 5:23

1 Mambo ya Nyakati 10:10

Marejeo

  • +1Sa 31:10
  • +Amu 16:23; 1Sa 5:2

1 Mambo ya Nyakati 10:11

Marejeo

  • +Amu 21:8; 1Sa 11:1; 31:12
  • +1Sa 31:9

1 Mambo ya Nyakati 10:12

Marejeo

  • +Mwa 35:8
  • +2Sa 2:5; 21:12
  • +Mwa 50:10; 2Sa 3:35

1 Mambo ya Nyakati 10:13

Marejeo

  • +1Sa 13:13; 15:23
  • +Law 19:31; 20:6; 1Sa 28:7; Isa 8:19; Mdo 16:16

1 Mambo ya Nyakati 10:14

Marejeo

  • +1Sa 14:19
  • +Ru 4:17; 1Sa 13:14; 15:28; 2Sa 3:10; 5:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 10:11Sa 31:1
1 Nya. 10:1Law 26:17; Kum 32:30; 2Sa 1:21
1 Nya. 10:22Sa 1:25
1 Nya. 10:21Nya 8:33
1 Nya. 10:21Nya 9:39
1 Nya. 10:21Sa 31:2
1 Nya. 10:31Sa 26:10; 31:3
1 Nya. 10:41Sa 31:4
1 Nya. 10:4Amu 9:54; 2Sa 1:9
1 Nya. 10:4Amu 15:18; 2Sa 1:20
1 Nya. 10:4Amu 16:21, 23
1 Nya. 10:41Sa 31:4
1 Nya. 10:4Kut 20:13; 1Nya 10:13; Mt 27:5
1 Nya. 10:51Sa 31:5
1 Nya. 10:61Sa 12:25; Ho. 13:11
1 Nya. 10:7Kum 28:25; 1Sa 13:6; 31:7
1 Nya. 10:81Sa 31:8
1 Nya. 10:81Sa 28:4
1 Nya. 10:91Sa 31:9
1 Nya. 10:92Sa 1:20
1 Nya. 10:9Amu 16:24; Da 5:23
1 Nya. 10:101Sa 31:10
1 Nya. 10:10Amu 16:23; 1Sa 5:2
1 Nya. 10:11Amu 21:8; 1Sa 11:1; 31:12
1 Nya. 10:111Sa 31:9
1 Nya. 10:12Mwa 35:8
1 Nya. 10:122Sa 2:5; 21:12
1 Nya. 10:12Mwa 50:10; 2Sa 3:35
1 Nya. 10:131Sa 13:13; 15:23
1 Nya. 10:13Law 19:31; 20:6; 1Sa 28:7; Isa 8:19; Mdo 16:16
1 Nya. 10:141Sa 14:19
1 Nya. 10:14Ru 4:17; 1Sa 13:14; 15:28; 2Sa 3:10; 5:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 10:1-14

1 Mambo ya Nyakati

10 Nao Wafilisti+ wakawapiga Israeli; na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, wakaendelea kuanguka wakiwa wameuawa katika Mlima Gilboa.+ 2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli.+ 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli; na mwishowe wanaopiga mishale kwa kutumia upinde wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza.+ 4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake:+ “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije kunitendea vibaya.”+ Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+ 5 Wakati yule mchukua-silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa, ndipo yeye pia akauangukia upanga, akafa.+ 6 Basi Sauli na wanawe watatu wakafa,+ na wote wa nyumba yake wakafa pamoja. 7 Wakati watu wote wa Israeli waliokuwa katika nchi tambarare ya chini walipoona kwamba wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.

8 Na kesho yake ikawa kwamba, Wafilisti walipokuja kuwavua+ waliouawa, wakamkuta Sauli na wanawe wameanguka juu ya Mlima Gilboa.+ 9 Nao wakamvua na kuchukua kichwa+ chake na silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ sanamu zao+ pamoja na watu. 10 Mwishowe wakaweka silaha zake katika nyumba ya mungu wao,+ na fuvu lake la kichwa wakalifunga kwenye nyumba ya Dagoni.+

11 Na watu wote wa Yabeshi+ katika Gileadi wakasikia yote ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.+ 12 Basi wanaume wote mashujaa wakaondoka na kuchukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe, wakazileta mpaka Yabeshi na kuizika mifupa yao chini ya ule mti mkubwa+ katika Yabeshi;+ nao wakafunga+ kwa siku saba.

13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+ 14 Naye hakuuliza kutoka kwa Yehova.+ Kwa hiyo akamuua na kumpa Daudi mwana wa Yese ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki