Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao wakaendelea kusema: “Ni kabila gani kati ya makabila ya Israeli ambalo halikuja mbele za Yehova katika Mispa?”+ Na tazama! hakuna yeyote aliyeingia kambini kutoka Yabesh-gileadi+ ili kuja kwenye kutaniko.

  • 1 Samweli 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi juu ya Yabeshi+ katika Gileadi. Kwa hiyo watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano pamoja nasi ili tukutumikie.”+

  • 1 Samweli 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mara moja wanaume wote mashujaa wakaondoka, wakaenda usiku kucha, wakachukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe kutoka katika ukuta wa Beth-shani, wakaja mpaka Yabeshi na kuziteketeza kwa moto hapo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki