8 Nao wakaendelea kusema: “Ni kabila gani kati ya makabila ya Israeli ambalo halikuja mbele za Yehova katika Mispa?”+ Na tazama! hakuna yeyote aliyeingia kambini kutoka Yabesh-gileadi+ ili kuja kwenye kutaniko.
11Na Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi juu ya Yabeshi+ katika Gileadi. Kwa hiyo watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano pamoja nasi ili tukutumikie.”+
12 Mara moja wanaume wote mashujaa wakaondoka, wakaenda usiku kucha, wakachukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe kutoka katika ukuta wa Beth-shani, wakaja mpaka Yabeshi na kuziteketeza kwa moto hapo.+