Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi juu ya Yabeshi+ katika Gileadi. Kwa hiyo watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano pamoja nasi ili tukutumikie.”+

  • 1 Samweli 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.

  • 2 Samweli 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Daudi akaenda, akachukua mifupa ya Sauli+ na mifupa ya Yonathani mwana wake kutoka kwa wenye mashamba wa Yabesh-gileadi,+ ambao walikuwa wameiiba kutoka katika kiwanja cha watu wote cha Beth-shani,+ mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika+ siku ambayo Wafilisti walimpiga na kumuua Sauli juu ya Gilboa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na watu wote wa Yabeshi+ katika Gileadi wakasikia yote ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki