Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 31
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 31:1

Marejeo

  • +1Sa 14:52; 29:1
  • +1Sa 12:25; 1Nya 10:1
  • +1Sa 28:4; 2Sa 1:21

1 Samweli 31:2

Marejeo

  • +1Sa 13:2
  • +1Nya 8:33
  • +1Nya 9:39

1 Samweli 31:3

Marejeo

  • +2Sa 1:4, 6

1 Samweli 31:4

Marejeo

  • +Amu 9:54; 1Nya 10:4
  • +1Sa 14:6; 17:26; 2Sa 1:20; Eze 44:7
  • +1Sa 22:17; 2Sa 1:14; Zb 105:15
  • +Kut 20:13; 2Sa 17:23; 1Fa 16:18; 1Nya 10:4; Mt 27:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    8/8/1992, kur. 7-8

1 Samweli 31:5

Marejeo

  • +1Sa 26:10; 1Nya 10:13; Ho. 13:11
  • +1Nya 10:5

1 Samweli 31:6

Marejeo

  • +1Sa 28:19; 1Nya 10:6

1 Samweli 31:7

Marejeo

  • +Kum 28:25; 1Sa 13:6
  • +Hes 33:56; Kum 28:33; 1Nya 10:7

1 Samweli 31:8

Marejeo

  • +1Nya 10:8; 2Nya 20:25
  • +1Sa 28:4; 31:1; 2Sa 1:6; 21:12

1 Samweli 31:9

Marejeo

  • +1Sa 17:51; 1Nya 10:9
  • +2Sa 1:20
  • +Amu 16:23

1 Samweli 31:10

Marejeo

  • +1Sa 21:9; 1Nya 10:10
  • +Amu 2:13
  • +Yos 17:11; Amu 1:27; 2Sa 21:12

1 Samweli 31:11

Marejeo

  • +1Sa 11:1; 2Sa 2:4; 21:12; 1Nya 10:11

1 Samweli 31:12

Marejeo

  • +Amo 6:10

1 Samweli 31:13

Marejeo

  • +2Sa 21:12
  • +Mwa 35:8; 2Sa 2:5
  • +Mwa 21:33; 1Sa 22:6; 1Nya 10:12
  • +Mwa 50:10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 31:11Sa 14:52; 29:1
1 Sam. 31:11Sa 12:25; 1Nya 10:1
1 Sam. 31:11Sa 28:4; 2Sa 1:21
1 Sam. 31:21Sa 13:2
1 Sam. 31:21Nya 8:33
1 Sam. 31:21Nya 9:39
1 Sam. 31:32Sa 1:4, 6
1 Sam. 31:4Amu 9:54; 1Nya 10:4
1 Sam. 31:41Sa 14:6; 17:26; 2Sa 1:20; Eze 44:7
1 Sam. 31:41Sa 22:17; 2Sa 1:14; Zb 105:15
1 Sam. 31:4Kut 20:13; 2Sa 17:23; 1Fa 16:18; 1Nya 10:4; Mt 27:5
1 Sam. 31:51Sa 26:10; 1Nya 10:13; Ho. 13:11
1 Sam. 31:51Nya 10:5
1 Sam. 31:61Sa 28:19; 1Nya 10:6
1 Sam. 31:7Kum 28:25; 1Sa 13:6
1 Sam. 31:7Hes 33:56; Kum 28:33; 1Nya 10:7
1 Sam. 31:81Nya 10:8; 2Nya 20:25
1 Sam. 31:81Sa 28:4; 31:1; 2Sa 1:6; 21:12
1 Sam. 31:91Sa 17:51; 1Nya 10:9
1 Sam. 31:92Sa 1:20
1 Sam. 31:9Amu 16:23
1 Sam. 31:101Sa 21:9; 1Nya 10:10
1 Sam. 31:10Amu 2:13
1 Sam. 31:10Yos 17:11; Amu 1:27; 2Sa 21:12
1 Sam. 31:111Sa 11:1; 2Sa 2:4; 21:12; 1Nya 10:11
1 Sam. 31:12Amo 6:10
1 Sam. 31:132Sa 21:12
1 Sam. 31:13Mwa 35:8; 2Sa 2:5
1 Sam. 31:13Mwa 21:33; 1Sa 22:6; 1Nya 10:12
1 Sam. 31:13Mwa 50:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 31:1-13

1 Samweli

31 Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+ 2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli. 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+ 4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake: “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije na kunichoma na kunitendea vibaya.” Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+ 5 Wakati yule mchukua-silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa,+ ndipo yeye pia akauangukia upanga wake mwenyewe, akafa pamoja naye.+ 6 Basi Sauli na wanawe watatu na mchukua-silaha wake, watu wake wote, wakafa pamoja siku hiyo.+ 7 Wakati watu wa Israeli waliokuwa katika eneo la nchi tambarare ya chini na waliokuwa katika eneo la Yordani walipoona kwamba watu wa Israeli wamekimbia, na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, ndipo wakaanza kuyaacha majiji na kukimbia,+ kisha Wafilisti wakaingia na kuanza kukaa ndani yake.+

8 Na kesho yake ikawa kwamba, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa,+ wakamkuta Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya Mlima Gilboa.+ 9 Nao wakakata kichwa+ chake na kuvua silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ nyumba za sanamu+ zao pamoja na watu. 10 Mwishowe wakaweka silaha+ zake katika nyumba za sanamu za Ashtorethi,+ nao wakafunga maiti yake kwenye ukuta wa Beth-shani.+ 11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli. 12 Mara moja wanaume wote mashujaa wakaondoka, wakaenda usiku kucha, wakachukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe kutoka katika ukuta wa Beth-shani, wakaja mpaka Yabeshi na kuziteketeza kwa moto hapo.+ 13 Kisha wakachukua mifupa yao,+ na kuizika+ chini ya mkwaju+ ulio katika Yabeshi, nao wakafunga kwa siku saba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki