1 Samweli 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Wafilisti wakakusanyika, wakaja na kupiga kambi katika Shunemu.+ Kwa hiyo Sauli akakusanya pamoja Israeli wote nao wakapiga kambi katika Gilboa.+ 2 Samweli 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Enyi milima ya Gilboa,+ umande wowote, wala mvua yoyote isinyeshe juu yenu, wala kusiwe na mashamba ya michango mitakatifu;+Kwa sababu ngao ya wenye uwezo ilichafuliwa hapo,Ngao ya Sauli, hata kukawa hakuna yoyote iliyotiwa mafuta.+
4 Na Wafilisti wakakusanyika, wakaja na kupiga kambi katika Shunemu.+ Kwa hiyo Sauli akakusanya pamoja Israeli wote nao wakapiga kambi katika Gilboa.+
21 Enyi milima ya Gilboa,+ umande wowote, wala mvua yoyote isinyeshe juu yenu, wala kusiwe na mashamba ya michango mitakatifu;+Kwa sababu ngao ya wenye uwezo ilichafuliwa hapo,Ngao ya Sauli, hata kukawa hakuna yoyote iliyotiwa mafuta.+